Aina hiyo ya muziki ambao uli fanywa maarufu duniani kote na wasananii kama Bob Marley, ume tambuliwa kwa mchango wake katika maswala ya haki ya jamii, maendeleo ya tamaduni mbali mbali, pamoja na uvutio wake duniani kote.
Shirika la UNESCO latambua muziki wa Reggae kama 'urithi wa utamaduni usio onekana'

Nhạc reggae ra đời vào cuối thập niên 1960 trong khu nghèo của thủ đô Jamaica, Kingston. Source: Getty Images
Mziki wa Reggae utalindwa nakutunzwa na shirika la umoja wa mataifa, baada yaku wekwa katika orodha ya 'kumbu kumbu ya utamaduni'.
Share




