Shirika la UNESCO latambua muziki wa Reggae kama 'urithi wa utamaduni usio onekana'

Nhạc reggae ra đời vào cuối thập niên 1960 trong khu nghèo của thủ đô Jamaica, Kingston.

Nhạc reggae ra đời vào cuối thập niên 1960 trong khu nghèo của thủ đô Jamaica, Kingston. Source: Getty Images

Mziki wa Reggae utalindwa nakutunzwa na shirika la umoja wa mataifa, baada yaku wekwa katika orodha ya 'kumbu kumbu ya utamaduni'.


Aina hiyo ya muziki ambao uli fanywa maarufu duniani kote na wasananii kama Bob Marley, ume tambuliwa kwa mchango wake katika maswala ya haki ya jamii, maendeleo ya tamaduni mbali mbali, pamoja na uvutio wake duniani kote.

Baadhi ya tamaduni zingine zisizo onekana ambazo ziliongezwa katika orodha ya umoja wa mataifa, ni kama uundaji wa bobbin lace kutoka Slovenia, miereka ya Chidaoba kutoka Georgia, mchezo wa hurling kutoka Ireland, maonesho ya asili yakuzaliwa kwa Yesu kwa jina la szopka kutoka Poland, pamoja na wafugaji wa farasi wa jadi kutoka Kazakhstan.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service