shughuli za uokoaji zina endelea kwa kina kujaribu kuondoa waathirika wakiwa hai ndani ya jengo lililo poromoka wikendi iliyo pita.
Kufikia sasa zaidi ya watu 130 wame okolewa kutoka jengo hilo ilhali imeripotiwa kuwa idadi ya watu ipatayo 14 wame fariki.
Miongoni mwa sababu ambazo zime laumiwa kwa ajali hiyo ni; ujenzi mbaya pamoja na idadi kubwa ya wakazi ndani ya jengo hilo.
Share





