China imesema kundi la raia wa Taiwan walio fukuzwa kutoka Kenya nakurejeshwa China, wanachunguzwa juu ya madai ya udanganyifu.
Kisa hicho kime zua mzozo waki diplomasia nakuzua hasira miongoni mwa watawala wa Taiwan, ambao wame ishtumu Kenya kwaku ondoa watu hao nchini kinyume na sheria, na China kwa upande wayo ime shtumiwa kwa tendo la utekaji nyara.
Kenya iko katika orodha ya mataifa ambayo haya tambui Taiwan kama taifa huru.
Share





