Roy: "Tukingoja msaada wa serikali watu watakufa"

Mtaa wamabanda wa Mathare

Mtaa wamabanda wa Mathare Source: UN-HABITAT

Je nijukumu la watu binafsi kutoa misaada kwa jamii wakati wa janga, wakati hilo ni jukumu la serikali?


Wanachama wa shirika la Kenya Australia Chamber of Commerce, wamejitwika jukumu lakuwasaidia wajane na mayatima, ambao wanaishi katika mtaa wamabanda wa Mathare, mjini Nairobi Kenya.

Wajane namayatima hao, ni baadhi ya kundi la watu ambalo litaathiriwa zaidi na virusi vya corona, iwapo patakuwa mlipuko wa virusi hivyo katika eneo hilo la Mathare.

Mwakilishi wa shirika hilo Roy alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS, kuhusu hatua ambayo yeye nawenzake wamechukua kuwasaidia wakazi wa Mathare.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Roy: "Tukingoja msaada wa serikali watu watakufa" | SBS Swahili