Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Sekta yamalezi yawatoto ya Australia, kutoa huduma bila malipo kwa wazazi wanao fanyakazi

Watoto wacheza ndani ya kituo cha huduma ya watoto

Huduma ya watoto itatolewa bila malipo kwa wazazi ambao, wanaendelea kufanya kazi wakati wa janga la virusi vya Corona.


Published

By Greg Dyett

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Huduma ya watoto itatolewa bila malipo kwa wazazi ambao, wanaendelea kufanya kazi wakati wa janga la virusi vya Corona.


Serikali ya shirikisho itasaidia vituo vya huduma ya malezi ya watoto elfu 13 ambavyo viko nchini Australia, kwakulipa nusu ya gharama ya oparesheni za vituo hivyo, kwa sharti kuwa vituo hivyo vitabaki wazi bila gharama yoyote kwa familia.

Na serikali ya shirikisho inawekeza dola milioni 123, ambazo zitatumiwa kuzisaidia jamii zawa Australia wakwanza. Hela hizo zita toelwa kwa kipindi cha miaka mbili, kupiga jeki rasilimali za biashara zawa Australia wa kwanza, zita pokea dola milioni 50 katika miezi ijayo.

Endelea kupokea Taarifa mpya kuhusu coronavirus katika lugha yako kupitia tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now