Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Seneti yapitisha mswada wa kwanza ulio tumiwa kuvunja bunge

Waziri wa Ajira Michaelia Cash aonesha furaha baada ya kura
Waziri wa Ajira Michaelia Cash aonesha furaha baada ya kura Source: AAP

Hatimae seneti ime pitisha muswada wa serikali wa mashirika ambayo yamesajiliwa, baada yakushiriki katika mjadala uliofikia tamati yake alfajiri ya leo mjini Canberra.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Hatimae seneti ime pitisha muswada wa serikali wa mashirika ambayo yamesajiliwa, baada yakushiriki katika mjadala uliofikia tamati yake alfajiri ya leo mjini Canberra.


Muswada huo ulikuwa moja ya maswala mawili yaliyo tumiwa na serikali kuvunja bunge mnamo mwezi julai nakuitisha uchaguzi mkuu nchini.

Swala la pili laku anzisha tume inayo chunguza sekta ya majengo na ujenzi, bado lina jadiliwa kati ya serikali na wabunge kutoka vyama vidogo na baadhi yawa bunge huru.

Kura kwa muswada huo ilijiri baada ya kura nyingine ndani ya seneti usiku wa jana jumatatu ambako, baadhi yama seneta wa chama cha Nationals, kupiga kura dhidi ya serikali kuhusu pendekezo lakupiga marufuku kuingizwa nchini kwa bunduki aina ya Adler.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now