Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Serikali ya shirikisho yakana inampango wakutoa nyongeza yakudumu yamalipo ya JobSeeker

Protests over JobKeeper

Serikali ya shirikisho inakana ripoti kuwa inazingatia ongekezo lakudumu kwa malipo ya JobSeeker.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Serikali ya shirikisho inakana ripoti kuwa inazingatia ongekezo lakudumu kwa malipo ya JobSeeker.


Sasa serikali inakabiliana na wito wakutekeleza uvumi huo wa jeki kwa malipo hayo ya ustawi.

Mweka hazina wa shirikisho Josh Frydenberg anatarajiwa kutangaza bajeti ndogo tarehe 23 ya Julai, ambapo ataweka wazi maelezo kuhusu mfumo wa JobSeeker.

Tangazo hilo litajumuisha pia hatma ya mfumo wa JobKeeper kupitia Septemba, baada ya tathmini ya mfumo wa ruzuku ya mapato, iliwasilishwa hivi karibuni kwa serikali.

Na unaweza endelea kupata taarifa mpya kuhusu coronavirus katika lugha yako kwenye tovuti hii sbs.com.au/coronavirus.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now