Chama cha upinzani cha shirikisho kime muomba mweka hazina aelezee jinsi hesabu zakutoa mradi wa JobKeeper zilivyo fanywa kimakosa.
Wito huo umejiri wakati serikali inatetea uamuzi wake, wakuto ongeza muda wa mradi huo kutumiwa.
Na unaweza endelea kupokea taarifa mpya kuhusu coronavirus katika lugha yako kwenye tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus
Share






