Serikali yatoa viza mpya zauhamiaji wakikanda

Maseremala kazini

Maseremala ni miongoni mwa wafanyakazi ambao wanaweza kuja Australia kwa viza za uhamiaji wakikanda. Source: AAP

Viza mpya zimezinduliwa, kuwa hamasisha wanao hudumia wanyama mbugani, wasanifu wa majengo, wanasayansi, wanao tengeza vyuma, wapasuaji, watu wanao tengeza tiba zakitamaduni pamoja na wataalam wengine, wahamie katika maeneo yakikanda.


Sheria za viza hiyo mpya yakandani zina maana wahamiaji lazima waishi katika maeneo yakikanda ya Australia, kwa angalau miaka mitatu kabla yakuwasilisha ombli lao la viza yakudumu nchini.

Maafikiano sababa ya uhamiaji yametiwa saini, yakijumuisha maeneo yakikanda nchini kote, kukabiliana na mahitaji halisi ya wahamiaji. Wakati huo huo, serikali ya shirikisho imetuma timu yama afisa wamikoa, kutoa msaada kwa waajiri wakikanda.

Unaweza pata orodha kamili ya kazi zinazostahiki, kwenye tovuti ya idara ya maswala ya nyumbani.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Serikali yatoa viza mpya zauhamiaji wakikanda | SBS Swahili