Mwongozo wa Makazi: usalama mtandaoni

Usalama mtandaoni

Usalama mtandaoni Source: Jonh Lund, Getty Images

Vitisho mtandaoni vinavyo sababishwa na maendeleo yakiteknolojia, viko hatua moja mbele ya wanao tumia mtandao pamoja na huduma zakijasusi za mtandao.


Ofisi ya takwimu ya Australia imekadiria kuwa mnamo mwaka wa 2014, idadi yawa Australia wapatao milioni 1.6, walikuwa waathirika wa udanganyifu mtandaoni. Matatizo ya lugha nayo yanaweza kuwa kizuizi kikubwa, kwaku tambua tisho hizo.

Kwa hiyo ni hatari gani zinazo husiana na maswala ya mtandao, na tunaweza jilinda siri zetu vipi mtandaoni?

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service