Mwongozo wa Makazi: usalama mtandaoni

Usalama mtandaoni

Usalama mtandaoni Source: Jonh Lund, Getty Images

Vitisho mtandaoni vinavyo sababishwa na maendeleo yakiteknolojia, viko hatua moja mbele ya wanao tumia mtandao pamoja na huduma zakijasusi za mtandao.


Ofisi ya takwimu ya Australia imekadiria kuwa mnamo mwaka wa 2014, idadi yawa Australia wapatao milioni 1.6, walikuwa waathirika wa udanganyifu mtandaoni. Matatizo ya lugha nayo yanaweza kuwa kizuizi kikubwa, kwaku tambua tisho hizo.

Kwa hiyo ni hatari gani zinazo husiana na maswala ya mtandao, na tunaweza jilinda siri zetu vipi mtandaoni?

 

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now