Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Huduma za misaada ya makazi za tetea mkusanyiko wa jamii zawahamiaji

Alan Tudge waziri wa uraia na tamaduni mbali mbali

Alan Tudge waziri wa uraia na tamaduni mbali mbali Source: AAP

Waziri wa maswala ya uraia na tamaduni mbali mbali wa Australia, amesema hatua za ziada zinastahili chukuliwa kuwasaidia wahamiaji kujumuika katika maisha ndani ya jamii.


Published

Updated

By Tara Cosoleto

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Waziri wa maswala ya uraia na tamaduni mbali mbali wa Australia, amesema hatua za ziada zinastahili chukuliwa kuwasaidia wahamiaji kujumuika katika maisha ndani ya jamii.


Waziri huyo ameongezea kuwa ujuzi mdogo wa kiingereza husababisha uwepo wa fursa ndogo zaku ajiriwa.

Hata hivyo, viongozi wa mashirika ya misaada wame sema kuwa wahamiaji wanapata mbinu mbali mbali zaku jiendeleza katika nchi yao mpya.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now