Huduma za misaada ya makazi za tetea mkusanyiko wa jamii zawahamiaji

Alan Tudge waziri wa uraia na tamaduni mbali mbali

Alan Tudge waziri wa uraia na tamaduni mbali mbali Source: AAP

Waziri wa maswala ya uraia na tamaduni mbali mbali wa Australia, amesema hatua za ziada zinastahili chukuliwa kuwasaidia wahamiaji kujumuika katika maisha ndani ya jamii.


Waziri huyo ameongezea kuwa ujuzi mdogo wa kiingereza husababisha uwepo wa fursa ndogo zaku ajiriwa.

Hata hivyo, viongozi wa mashirika ya misaada wame sema kuwa wahamiaji wanapata mbinu mbali mbali zaku jiendeleza katika nchi yao mpya.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service