Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Shariff "vijana tuongeze bidii katika shughuli zetu, tusitegemee wanasiasa"

Baadhi ya viongozi wa shirika la G.O.O.N.S wakiwa kwenye hafla yao.

Neno goons lina sifa mbaya katika jamii, haswa kwa vijana wengi ambao hu husishwa na maswala yanayo enda kinyume na sheria na maadili mazuri.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Ila mjini Sydney, vijana wenye asili ya Kenya wame ungana nakutengeza shirika ambalo wame lipa jina la G.O.O.N.S (Good, Organised, Outstanding, Neutral, System).

Katika mazungumzo maalum waliyo fanya na SBS Swahili, wakati wa maadhimisho ya siku ya Madakaraka ya Kenya mjini Fairfield, NSW Bw Shariff akiwa pamoja na baadhi ya viongozi wenzake wa G.O.O.N.S walifunguka kwa nini walikumbatia jina hilo na shughuli wanazo fanya kupitia shirika hilo.

Kwa taarifa zaidi kuhusu shirika la G.O.O.N.S, tembelea mitandao ya kijamii.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now