Shariff "vijana tuongeze bidii katika shughuli zetu, tusitegemee wanasiasa"

Baadhi ya viongozi wa shirika la G.O.O.N.S wakiwa kwenye hafla yao.

Neno goons lina sifa mbaya katika jamii, haswa kwa vijana wengi ambao hu husishwa na maswala yanayo enda kinyume na sheria na maadili mazuri.


Ila mjini Sydney, vijana wenye asili ya Kenya wame ungana nakutengeza shirika ambalo wame lipa jina la G.O.O.N.S (Good, Organised, Outstanding, Neutral, System).

Katika mazungumzo maalum waliyo fanya na SBS Swahili, wakati wa maadhimisho ya siku ya Madakaraka ya Kenya mjini Fairfield, NSW Bw Shariff akiwa pamoja na baadhi ya viongozi wenzake wa G.O.O.N.S walifunguka kwa nini walikumbatia jina hilo na shughuli wanazo fanya kupitia shirika hilo.

Kwa taarifa zaidi kuhusu shirika la G.O.O.N.S, tembelea mitandao ya kijamii.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Shariff "vijana tuongeze bidii katika shughuli zetu, tusitegemee wanasiasa" | SBS Swahili