Ni nadra kwa wanawake wakiAfrika, kuandika vitabu kuhusu maswala yakidini.
Bi Sheila Matete-Owiti amebadili takwimu hiyo, kwaku andika naku zindua kitabu chake kwa jina la: A Royal Priesthood.
SBS Swahili ilihudhuria uzinduzi huo, na hivi ndivyo baadhi ya wadau, walio hudhuria uzinduzi huo walitueleza kuhusu kitabu hicho.
Share






