Baadhi ya wadau walio hudhuria uzinduzi wa kitabu cha Sheila, waonesha kitabu hicho katika picha Source: SBS SwahiliNi nadra kwa wanawake wakiAfrika, kuandika vitabu kuhusu maswala yakidini.
Published
Updated
By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Skip to podcast episode contentShare this with family and friends
Ni nadra kwa wanawake wakiAfrika, kuandika vitabu kuhusu maswala yakidini.
Bi Sheila Matete-Owiti amebadili takwimu hiyo, kwaku andika naku zindua kitabu chake kwa jina la: A Royal Priesthood.
SBS Swahili ilihudhuria uzinduzi huo, na hivi ndivyo baadhi ya wadau, walio hudhuria uzinduzi huo walitueleza kuhusu kitabu hicho.