Imekuwa safari ndefu yakiroho kwa Sheila Matete-Owiti, ambayo ilikamilika kwa kuchapisha kitabu chake kipya: Kenya A Royal Priesthood.
SBS Swahili ilizungumza na Sheila katika hafla ya uzindunzi wakitabu hicho, ambako alitueleza kwa upana kuhusu motisha yakuandika kitabu hicho.
Share






