Shinikizo la ajira linalosababishwa na coronavirus lawaathiri watoto wengi Australia

Centrelink

Source: AAP

Janga la COVID-19 lime sababisha ongezeko ya idadi yawa Australia wanao kabiliwa na wakati mgumu kifedha, kupitia kupoteza ajira au kupungua kwa masaa ya kazi pamoja na mishahara yao.


Utafiti mpya umepata kuwa viwango vya ukosefu wa kazi miongoni mwa familia, umeongezeka mara mbili na watoto wana kabiliwa na madhara hayo kwa muda mrefu.

 

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now