Shinikizo la ajira linalosababishwa na coronavirus lawaathiri watoto wengi Australia

Centrelink

Source: AAP

Janga la COVID-19 lime sababisha ongezeko ya idadi yawa Australia wanao kabiliwa na wakati mgumu kifedha, kupitia kupoteza ajira au kupungua kwa masaa ya kazi pamoja na mishahara yao.


Utafiti mpya umepata kuwa viwango vya ukosefu wa kazi miongoni mwa familia, umeongezeka mara mbili na watoto wana kabiliwa na madhara hayo kwa muda mrefu.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service