Shinikizo laongezeka kwa msaada utolewe kwa wanafunzi wakimataifa nchini

Turbans4Australia

Shirika la Turbans4Australia lagawa vyakula, kwa wanafunzi wakimataifa wanao kabiliwa kwa wakati mgumu kwa sababu ya COVID-19 Source: SBS

Wakati vyuo na taasisi za elimu ya juu zimefungwa wakati wa janga la coronavirus, wanafunzi wengi wakimataifa wanakabiliwa kwa wakati mgumu sana.


Wanafunzi hao hawafuzu kupokea malipo ya JobSeeker au JobKeeper ila, baadhi yaserikali zamajimbo na wilaya zinatoa msaada wakifedha.

Sasa shinikizo limeongezeka kwa serikali ya New South Wales nayo itoe msaada huo.

Na unaweza endelea kupokea taarifa mpya kuhusu coronavirus kwenye tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Shinikizo laongezeka kwa msaada utolewe kwa wanafunzi wakimataifa nchini | SBS Swahili