Shinikizo yaongezeka kwa serikali ya Australia ifunge shule zote nchini

Mwanafunzi afikishwa katika shule ya PLC Sydney

Mwanafunzi afikishwa katika shule ya Presbyterian Ladies College mjini Sydney Source: SBS

Wakati Uingereza imechukua hatua yakufunga shule zote, shinikizo linaendelea kuongezeka kwa serikali ya Australia ichukue hatua hiyo pia.


Ila kwa sasa serikali imesema wanafunzi wanastahili baki shuleni, na wazazi wao wabaki kazini.

Hata hivyo, baadhi ya shule binafsi zimeanza kuhamishia mafunzo mtandaoni.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service