Shirika la Kenya Community Victoria kutoa msaada kwa wakenya wanaoathirika na COVID-19

watu wapiga foleni nje ya ofisi ya Centrelink

watu wapiga foleni nje ya ofisi ya Centrelink Source: Supplied

Janga la coronavirus limesababisha uharibifu mkubwa katika nchi nyingi na maisha ya watu binafsi duniani kote.


Viongozi wa jamii mbali mbali nchini Australia wameweka mikakati yakuwanusuru, wanachama wa jamii zao dhidi ya janga la coronavirus ambalo linaendelea kusababisha uharibifu mkubwa duniani kote.

Shirika la Kenya Community Victoria, linajiandaa kutoa misaada mbalimbali kwa wakenya wanao ishi jimboni Victoria watakao athirika na COVID-19.

Mweka hazina wa shirika hilo Jason Njuguna, alieleza idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu baadhi ya hatua ambazo shirika lake lime andaa kuwasaidia wakenya wenzao.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now