Kujifunza kuogelea ni sehemu ya tamaduni kwa watoto nchini Australia.
Ila kama sekta zingine zote, shule zinazofunza kuogelea zime lazimishwa kufungwa kwa sababu ya vizuizi vya coronavirus.
Idhaa ya Kiswahili ya SBS inakuletea taarifa kuhusu jinsi watoto wanaweza jifunza usalama wa maji, wakati wa janga na, madhara yakufungwa kwa shule zinazo funza kuogelea zinaweza sababisha kwa wa Australia.
Na unaweza endelea kupata taarifa mpya kuhusu coronavirus, katika lugha yako kwenye tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus
Share






