Wasanii wa muziki kutoka Tanzania wamejipa umaarufu duniani kote, kupitia utunzi na miondoko ya miziki yao.
Simorex The General ni rapa kutoka Tanzania anaye ishi Sydney, Australia.
Alitembelea Idhaa ya Kiswahili ya SBS, nakuweka wazi maendeleo, changamoto na mpango wake wakutawala rap ya Tanzania.
Share





