Simorex The General ni rapa kutoka Tanzania anaye ishi Sydney, Australia.
Simorex The General "Mimi ndiye rapa bora Tanzania"

Simorex The General, ndani ya studio za SBS Source: SBS Swahili
Wasanii wa muziki kutoka Tanzania wamejipa umaarufu duniani kote, kupitia utunzi na miondoko ya miziki yao.
Share