'Michezo inamanufaa isiyo na mwisho kwa wanachama wa jamii zetu'

Viongozi wa timu za DR Congo na Burundi, waonesha medali na vikombe walivyo shinda katika michuano iliyo andaliwa na shirika la GLAPD Int'l Source: SBS Swahili
Shirika la GLAPD International hivi karibuni, lili wa andalia wanachama wake tamasha la michezo.
Share