Wachambuzi wa michezo na mashabiki wa soka washangaa Messi kutokuwepo kwenye orodha ya wachezaji bora

Luka Modric, Cristiano Ronaldo and Mohamed Salah

Luka Modric, Cristiano Ronaldo and Mohamed Salah for the Best FIFA Men's Player award. Source: AAP Image/ The Yomiuri Shimbun via AP Images/Luca Bruno/ Martin Rickett/PA Wire

Cristiano Ronaldo, Luka Modric na Mohamed Salah wamechaguliwa kwa tuzo ya Mchezaji bora wa FIFA.


Lakini hakuna nafasi kwa ajili ya Barcelona na nyota wa Argentina Lionel Messi.

Mchambuzi wa soka wa Afrika Mashariki George Ambangile ambaye anafanya kazi Magic FM huko Dar es Salaam - Tanzania, alielezea habari hiyo ya kushangaza kama alivyohojiwa na Mtayarishaji wetu wa SBS, Frank Mtao.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now