Lakini hakuna nafasi kwa ajili ya Barcelona na nyota wa Argentina Lionel Messi.
Mchambuzi wa soka wa Afrika Mashariki George Ambangile ambaye anafanya kazi Magic FM huko Dar es Salaam - Tanzania, alielezea habari hiyo ya kushangaza kama alivyohojiwa na Mtayarishaji wetu wa SBS, Frank Mtao.





