Kanisa la Australia lakusanya fedha za kampeni za Israeli Folau ambazo zinakaribia dola nusu milioni; Jiji la Sydney latangaza rasmi "dharura ya tabia nchi", Sweden yatinga robo fainali Kombe la Dunia la Wanawake baada ya kuichapa Canada.
Kanisa la Australia lakusanya fedha za kampeni za Israeli Folau ambazo zinakaribia dola nusu milioni; Jiji la Sydney latangaza rasmi "dharura ya tabia nchi", Sweden yatinga robo fainali Kombe la Dunia la Wanawake baada ya kuichapa Canada.