Ujerumani umeanza vyema kampeni yao ya Kombe la Dunia la 2026, ikiwashinda Curaçao inayo shiriki katika michuano hiyo kwa mara ya kwanza kwa mabao 7-1 katika Kundi E katika Uwanja wa Houston, Marekani.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Wakati huo huo mjini Dallas, Kundi F ilifunguliwa kwa sare ya magoli mbili kila upande Uholanzi ilipo kabiliana na Japan.
Nako mjini Philadelphia, Côte d'Ivoire na Ecuador zilikabiliana kwa mara ya kwanza katika Kombe la Dunia.
Côte d'Ivoire ilipiga hatua kubwa mbele, baada ya Amad Diallo kufunga bao la pekee nala ushindi katika dakika ya 90 na kuihakikishia ushindi wa 1-0, wakati huo huo, Sweden imecharaza Tunisia magoli 5-1 katika Uwanja wa Monterrey, Mexico.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.






