Taarifa ya Habari 20 Julai 2021

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Makatazo ya Victoria yameongezwa hadi usiku wa manane wa Jumanne 27 Julai 2021, wakati mamlaka wa afya wanakabiliana na mlipuko wa aina ya kirusi cha Delta cha COVID-19.


Jimbo la New South Wales limerekodi kesi mpya 78 za COVID-19 ndani ya jamii, na wakati idadi ya jumla ime pungua, kesi 21 zilikuwa bado ambukizi ndani ya jamii. Biashara zisizo mhimu zimefungwa katika maeneo ya Greater Sydney, na kazi zote za ujenzi zime sitishwa wakati mamlaka wa afya wanalenga, kuvunja uambukizi ndani yama nyumba na sehemu zakazi.

Nalo jimbo la Kusini Australia lita ingia katika siku saba za makatazo kuanzia saa kumi na mbili usiku wa Jumanne 20 Julai kwa masaa ya Kusini Australia. Tangazo hilo limejiri wakati mlipuko wa kesi za COVID-19 zimeongezeka hadi tano, baada ya mtu aliye lia ndani ya mgahawa katika sehemu ya uambukizi mjini Adelaide, kupatwa na virusi hivyo.

Mzozo unaohusu idara za mahakama na bunge, unaendelea kutokota baada ya jaji mkuu Martha Koome kuliandikia bunge kudhibiti maafisa wa mahakama. Mzozo unaohusu idara mbili za serikali nchini Kenya, idara ya mahakama na bunge, unaendelea kutokota baada ya jaji mkuu Martha Koome kuliandikia bunge kudhibiti maafisa wa mahakama kufika mbele kamati ya bunge kuhusu uhasibu kuelezea suala la kuwapo maafisa wengi katika nafasi za ukaimu.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service