Taarifa ya habari 25 Agosti 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Kiongozi wa jimbo la Victoria anaendelea kuwa na matumaini kuwa bunge la jimbo hilo, litaruhusu hali ya dharura jimboni humo iongezwe kupitia Septemba, kama sehemu yaku kabiliana na janga la coronavirus.


Mazungumzo nchini Mali yanayolenga kutatua mzozo wa kisiasa unaoendelea kufuatia mapinduzi yaliofanyika wiki iliopita yamemalizika bila makubaliano.

Rais wa Tanzania na mgombea wa urais kupitia chama tawala cha CCM, John Pombe Magufuli amerejesha fomu ya kugombea urais Tune ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Uganda inawarudisha nyumbani wanadiplomasia wake wanaohusishwa na kashfa ya kupanga kugawana fedha za umma kuvuja katika mazungumzo yao yaliokuwa yamerikodiwa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service