Mazungumzo nchini Mali yanayolenga kutatua mzozo wa kisiasa unaoendelea kufuatia mapinduzi yaliofanyika wiki iliopita yamemalizika bila makubaliano.
Rais wa Tanzania na mgombea wa urais kupitia chama tawala cha CCM, John Pombe Magufuli amerejesha fomu ya kugombea urais Tune ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).