Taarifa ya Habari 26 Disemba 21

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Simanzi yatawala kifo cha Askofu Mkuu Desmond Tutu aliyefariki akiwa na umri wa miaka 90. Rais Cyril Ramaphosa asema, "Kufariki kwa Askofu huyo ni sura nyingine ya msiba katika kuaga taifa la kizazi cha watu mashuhuri wa Afrika Kusini ambao wamewaachia urithi wa nchi hiyo uliokombolewa,"


Kitaifa:

-          Zaidi ya watu 400 walio na COVID-19 waliambiwa kimakosa kuwa wamepimwa hawana

-          Huduma za upimaji wa COVID-19 PCR vyaelemewa, Waziri Mkuu aonya, huku jimbo la NSW likirekodi maambukizo mapya 6,394

Kimataifa:

-          Makumi kwa maelfu waandamana kupinga mapinduzi kote Sudan


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service