Taarifa ya Habari 27 Julai 21

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Jimbo la New South Wales limerekodi vifo 10 vinavyotokana na virusi vya corona kupitia mlipuko wa hivi karibuni wa gonjwa hilo.


Waziri wa Afya wa New South Wales amesema, anatarajia kuna uwezekano wa vifo vingi vya virusi vya corona ikiwa idadi ya kesi katika jimbo ikiongezeka.

Katika habari za Kimataifa:

Takriban watu 57 wamekufa maji baada ya mashua iliyokuwa imewabeba wahamiaji kupinduka katika pwani ya Libya.
Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji [[IOM]] linasema wanawake wasiopungua 20 na watoto wawili walikuwa miongoni mwa wale waliozama.
 
Na huko India, takriban watu saba, wakiwemo maafisa sita wa polisi, wameuawa na zaidi ya 70 wamejeruhiwa katika mapigano kati ya majimbo mawili nchini humo. 
 

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya Habari 27 Julai 21 | SBS Swahili