Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya habari 28 Julai 2020

Mwanaharakati akamatwa katika maandamano ya Black Lives Matter mjini Sydney

Mwanaharakati akamatwa katika maandamano ya Black Lives Matter mjini Sydney Jumanne 28 Julai 2020. Source: AAP

Jeshi la polisi lawakamata watu sita katika maandamano ya Black Lives Matter mjini Sydney, Australia


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Jeshi la polisi lawakamata watu sita katika maandamano ya Black Lives Matter mjini Sydney, Australia


Kiongozi wa chama cha Greens Adam Bandt amesema vikao vya bunge la shirikisho vitakapo anza tena, chama chake kita pendekeza muswada waku hakikisha wafanyakazi wote wana weza pata malipo ya siku 14, kujitunzisha coronavirus.

Mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu aliyepigwa risasi mara kumi na sita katika shambulizi la mwaka 2017 amerudi nchini humo kutoka uhamishoni ili kukabiliana na Rais John Pombe Magufuli katika kinyang'anyiro cha kuwania urais.

Serikali kadhaa duniani zimechukua hatua za kurejesha vizuizi vya kukabiliana na janga la virusi vya corona zikijaribu kuepuka wimbi jipya la maambukizi wakati idadi ya vifo vilivyotokana na COVID-19 imepindukia 650,000.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now