Taarifa ya habari 28 Julai 2020

Mwanaharakati akamatwa katika maandamano ya Black Lives Matter mjini Sydney

Mwanaharakati akamatwa katika maandamano ya Black Lives Matter mjini Sydney Jumanne 28 Julai 2020. Source: AAP

Jeshi la polisi lawakamata watu sita katika maandamano ya Black Lives Matter mjini Sydney, Australia


Kiongozi wa chama cha Greens Adam Bandt amesema vikao vya bunge la shirikisho vitakapo anza tena, chama chake kita pendekeza muswada waku hakikisha wafanyakazi wote wana weza pata malipo ya siku 14, kujitunzisha coronavirus.

Mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu aliyepigwa risasi mara kumi na sita katika shambulizi la mwaka 2017 amerudi nchini humo kutoka uhamishoni ili kukabiliana na Rais John Pombe Magufuli katika kinyang'anyiro cha kuwania urais.

Serikali kadhaa duniani zimechukua hatua za kurejesha vizuizi vya kukabiliana na janga la virusi vya corona zikijaribu kuepuka wimbi jipya la maambukizi wakati idadi ya vifo vilivyotokana na COVID-19 imepindukia 650,000.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya habari 28 Julai 2020 | SBS Swahili