Taarifa ya habari 5 Julai 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS

Bango la taarifa ya habari la SBS Source: SBS

Watu ambao wako ndani ya karantani ya lazima mjini Melbourne, kupewa msamaha wa kodi za nyumba, pamoja na misaada mingine toka kwa serikali yajimbo hilo.


Zaidi ya watu 52 wameuawa katika jimbo la Oromiya nchini Ethiopia katika maandamano ya kupaza sauti dhidi ya mauaji ya mwanamuziki Haacaaluu Hundeessaa

Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya, imeongezeka na kufikia 7,577 baada ya wagonjwa 389 wapya kuthibitishwa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya habari 5 Julai 2020 | SBS Swahili