Taarifa ya habari 7 Julai 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS

Bango la taarifa ya habari la SBS Source: SBS

Maelfu waondoka Victoria kabla yampaka wa New South Wales kufungwa.


Serikali ya Misri yawakamata madaktari wanaokosoa hali ya maambukizi ya COVID-19 nchini humo, na wafanyakazi wengine wa afya wanasema wameonywa na viongozi wao kukaa kimya au kuadhibiwa.

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, Jumatatu alitangaza kuanza tena shughuli za kawaida nchini, wakati serikali ikichukua hatua ya kulegeza masharti ya COVID-19.

Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje ya nchi wa Tanzania, na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bernard Membe, amerejesha kadi ya uanachama wa Chama hicho.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya habari 7 Julai 2020 | SBS Swahili