Taarifa ya habari 7 Juni 2020

Bango la taarifa za habari za dunia la SBS

Bango la taarifa za habari za dunia la SBS Source: SBS

Waziri wa fedha wa Australia akataa kubadili kauli yake, iliyo wakosoa waandamanaji wa haki zakiraia


Katika kile kinachoelezwa kuwa ni maandamano makubwa zaidi kushuhudiwa dhidi ya ukatili wa polisi na ubaguzi wa rangi, maelfu ya waandamanaji wameshiriki nchini Marekani na maeneo mengine ya ulimwengu.

Serikali ya Kenya imeongeza muda wa kutotoka nje usiku nchi nzima kwa siku nyingine 30, amri iliyokuwa imewekwa kwa ajili ya kuzuia kuenea kwa COVID-19.

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF, limelaani vikali shambulizi ambalo limeua watu 16, wakiwemo wasichana watano walio na umri wa chini ya miaka 15, Juni 3 katika jimbo la Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC).


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service