Taarifa ya Habari 8 Aprili 2025

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS / SBS Swahili

Serikali ya Albanese imesema uwekezaji wa serikali wa $1 bilioni moja inatambua pengo muhimu la wafanyakazi katika huduma ya afya ya akili inayo stahili fanyiwa kazi.


Upinzani wa mseto utafuta sera yake ya uchaguzi kwa kumaliza mipangilio yakufanyia kazi nyumbani kwa wafanyakazi wa umma na, kubadili mipango yake yakuwafuta wafanyakazi elfu 41 kutoka ajira za wafanyakazi wa madola.

Rwanda inaadhimisha miaka kumbukumbu ya miaka 31 ya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 yaliyopelekea mauaji ya watu 800,000 katika muda wa siku 100.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service