Madaktari waliokuwa wakimtibu kiongozi wa upinzani nchini Urusi Alexei Navalny wanasema kwamba amepata fahamu na kwamba hali yake tangu alipopatiwa sumu imeimarika.
Maafisa usalama wa Ethiopia Jumatatu waliwazuia waandishi wa habari kusafiri kuelekea mkoa wa kaskazini wa Tigray kuripoti uchaguzi wa mkoa ambao serikali imeuita kuwa ni kinyume cha katiba.




