Taarifa ya habari 8 Septemba 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Uchunguzi kwa mradi wa karantini ya hoteli ya jimbo la Victoria, umesikia ushahidi kuwa mradi huo uliandaliwa kwa kasi na hatimae ulifeli kutekeleza mahitaji ya wasafiri waliorejea.


Madaktari waliokuwa wakimtibu kiongozi wa upinzani nchini Urusi Alexei Navalny wanasema kwamba amepata fahamu na kwamba hali yake tangu alipopatiwa sumu imeimarika.

Maafisa usalama wa Ethiopia Jumatatu waliwazuia waandishi wa habari kusafiri kuelekea mkoa wa kaskazini wa Tigray kuripoti uchaguzi wa mkoa ambao serikali imeuita kuwa ni kinyume cha katiba.

 

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now