Taarifa ya habari 9 Agosti 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Serikali yashirikisho yasisitiza haija tupilia mbali wazo lakufanyia mageuzi mfumo wa JobKeeper, na siku mbaya zaidi katika vita dhidi ya coronavirus yashuhudiwa jimboni Victoria.


Mji wa Nagasaki nchini Japan leo umefanya kumbukumbu ya miaka 75 tangu uliposhambuliwa kwa bomu la nyuklia na Marekani ambapo meya na Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa wameonya juu ya matumizi ya silaha za nyuklia.

Watu wasiopungua tisa wameuawa na takriban wengine 20 kujeruhiwa Jumamosi katika mlipuko wa bomu lililokuwa ndani ya gari mbele ya mlango wa kuingilia kwenye kituo cha kijeshi mjini Mogadishu, mashahidi na maafisa wa usalama wamesema.

Shirika la ndege la Kenya Airways linasema kuwa mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania haijabatilisha uamuzi wa kufuta kibali cha kuziruhusu ndege zake kusafiri nchini humo takriban wiki moja baada ya Waziri wa Uchukuzi wa Kenya James Macharia kueleza kuwa nchi hizo mbili zimefikia makubaliano.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service