Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari: Ghana kuwaondoa raia wake 300 wanaoishi Afrika Kusini

Afrika kwenye ramani ya dunia.png

Serikali ya Ghana imetangaza kuwa itawarudisha raia wake 300-wanaoishi nchini Afrika Kusini, kufuatia ongezeko la visa vya wageni kushambuliwa.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Serikali ya Ghana imetangaza kuwa itawarudisha raia wake 300-wanaoishi nchini Afrika Kusini, kufuatia ongezeko la visa vya wageni kushambuliwa.


Waziri wa Mambo ya nje wa Ghana, Samuel Okudzeto Ablakwa kupitia ukurasa wake wa kijamii wa X, amesema rais John Dramani Mahama, ameidhinisha hatua hiyo. Hatua hii inakuja, baada ya raia wa Ghana wanaoshi nchini Afrika Kusini, kuomba kurejea nyumbani baada ya kuripoti matukio ya kushambuliwa na biashara zao kuvamiwa na kuharibiwa kwa madai kuwa, wageni wamekuja kuchukua ajira wenyeji.

Kiongozi wa Upinzani, Angus Taylor, atatumia hotuba yake ya kwanza ya kujibu bajeti kuhusisha idadi ya wahamiaji wanaoingia Australia na idadi ya nyumba mpya zinazojengwa. Hotuba hiyo itaainisha mpango wa kudhibiti uhamiaji na kuweka ukomo wa idadi ya watu wanaohamia nchini, kulingana na idadi ya nyumba zilizojengwa mwaka uliopita.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now