Mweka Hazina wa taifa, Jim Chalmers, ameelezea bajeti inayokuja kama ile yenye malengo makubwa zaidi ya serikali ya Labor kufikia sasa, ikiwa na kile anachokiita akiba na mageuzi makubwa kuliko kawaida.
Rais wa Ufaransa ameanza ziara muhimu nchini Kenya sambamba na kufunguliwa kwa mkutano mkubwa wa Afrika na Ufaransa unaowakutanisha zaidi ya viongozi 30 wa Afrika pamoja na wakuu wa makampuni makubwa ya kimataifa.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






