Chama cha One Nation kina kana kwamba sera yake mpya ya malipo ya uzeeni itasababisha uondoaji mkubwa wa malipo ya uzeeni, au kuongezeka kwa mfumuko wa bei.
Kwa upande wayo serikali inasema sera kama hiyo, itaharibu maliyo ya uzeeni kama tunavyo yajua.
Mamlaka nchini Tanzania imetangaza rasmi kuhamia katika mji wa Serikali wa Mtumba ulioko Dodoma ambapo wafanyakazi zaidi ya elfu 18 watahamia, tukio ambalo linaenda kukamilisha historia ya mpango wa Serikali kuhamia makao makuu ya nchi. Kwa mujibu wa Serikali, kiasi cha shilingi za Tanzania bilioni 698 zimetumika kati ya shilingi bilioni 940 zilizopangwa kwa ajili ya mji huo ambapo shughuli za ujenzi bado zinaendelea.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.






