Taarifa ya Habari

bango la taarifa za habari la SBS

bango la taarifa za habari la SBS Source: SBS

Mtu wa tano athibitishwa kuwa na kirusi cha coronavirus nchini Australia.


Idadi ya watu walio uwawa nchini China na kirusi cha coronavirus imeongezeka nakufika watu 106, wakati idadi ya watu wapatao elfu nne wamethibitishwa kuwa wanaugua kwa sababu ya kirusi hicho.

Wananchi wa Burundi wana matumani kwamba nchi hiyo inatarajia kufungua ukurasa mpya baadae mwaka huu, siku moja baada ya chama tawala nchini humo, CNDD-FDD, kumpata mgombea (Jenerali Evariste Ndayishimiye) katika uchaguzi wa urais ulio pangwa kufanyika mwezi Mei 2020.

Huku siasa kuhusu uhamasishaji juu ya mchakato wa ripoti ya Jopo la maridhiano nchini Kenya (BBI) zikichacha, kumezuka tofauti kati ya wanasiasa wakuu nchini Kenya kuhusiana na mbinu na njia za kufuata katika kufanikisha suala hili.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service