Taarifa za habari 24 Mei 2020

Bango la taarifa za habari za dunia la SBS

Bango la taarifa za habari za dunia la SBS Source: SBS

Serikali ya shirikisho yaendelea kukariri msimamo wake, wakuto ongeza muda wa mfumo wa JobKeeper.


Polisi mjini Hong Kong imewarushia gesi ya kutoa machozi waandamanaji wanaopinga mpango wa China wa kutaka kuweka sheria za usalama wa kitaifa.

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amezindua mpango wakupiga jeki uchumi, wenye thamani ya Shilingi bilioni 53.7 za Kenya.

Ethiopia, Sudan na Egypt, zinatarajiwa kuanza tena mazungumzo kuhusu bwawa la kuzalisha umeme la Ethiopia, lililojengwa kwa gharama ya dola bilioni 4 kwenye mto Nile, linalokabiliwa na utata.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service