Taarifa za habari: Erick Kabendera aachiwa huru

Erick Kabendera akiwa mahakamani

Mwandhisi wa habari za uchunguzi wa Tanzania, Erick Kabendera akiwa mahakamani Source: Getty Images

Shirika la Amnesty International lasema Kabendera alionewa, hakustahili kununua uhuru wake .


Mweka hazina wa taifa John Frydenberg amekadiria kuwa dharura yakimataifa ya coronavirus, itakuwa na athari kubwa zaidi kwa uchumi wa australia, ikilinganishwa na moto wa vichaka wa msimu huu wa majira ya joto.

Serikali ya Ujerumani imeahidi kufadhili miradi ya elimu, na kupiga jeki uzalishaji katika viwanda nchini Kenya ili kukabiliana na tatizo ya ajira ambalo linazidi kuongezeka nchini Kenya.

Watu 12 wenye silaha wameripotiwa kuuawa katika mapigano na vikosi vya kulinda usalama vya serikali ya Burundi, yaliotokea jumapili katika wilaya moja kusini mwa mji mkuu Bujumbura.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa za habari: Erick Kabendera aachiwa huru | SBS Swahili