Taarifa za habari: Erick Kabendera aachiwa huru

Erick Kabendera akiwa mahakamani

Mwandhisi wa habari za uchunguzi wa Tanzania, Erick Kabendera akiwa mahakamani Source: Getty Images

Shirika la Amnesty International lasema Kabendera alionewa, hakustahili kununua uhuru wake .


Mweka hazina wa taifa John Frydenberg amekadiria kuwa dharura yakimataifa ya coronavirus, itakuwa na athari kubwa zaidi kwa uchumi wa australia, ikilinganishwa na moto wa vichaka wa msimu huu wa majira ya joto.

Serikali ya Ujerumani imeahidi kufadhili miradi ya elimu, na kupiga jeki uzalishaji katika viwanda nchini Kenya ili kukabiliana na tatizo ya ajira ambalo linazidi kuongezeka nchini Kenya.

Watu 12 wenye silaha wameripotiwa kuuawa katika mapigano na vikosi vya kulinda usalama vya serikali ya Burundi, yaliotokea jumapili katika wilaya moja kusini mwa mji mkuu Bujumbura.

 

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now