Taarifa za habari: Maelfu wajumuika kuomboleza familia iliyouawa mjini Brisbane

Hundreds turn out for a vigil for Hannah Clarke and her three children.

Hundreds turn out for a vigil for Hannah Clarke and her three children. Source: AAP

Mamia yawa ombolezaji wamejumuika kumkumbuka mama na wanawe watatu, walio uawa katika tendo la vurugu ya nyumbani kusini mwa mji wa Brisbane.


Wa Australia walio kuwa wame kwama nchini China, wakati mlipuko wa coronavirus ulipo tangazwa, wame elezea shukrani zao kwakurejeshwa nyumbani.

Vikosi vya usalama nchini Ujerumani vinajiandaa kwa uwezekano, wa kutokea mashambulizi ya kulipiza kisasi kufuatia tukio la wiki hii la ufyatuaji risasi, katika mji wa magharibi mwa Ujerumani Hanau

Mamia ya wananchi wa Rwanda wamejitokeza Jumamosi, kuuaga mwili wa msanii maarufu wa nyimbo za Injili Kizito Mihigo, akiwemo Diane Rwigara, mwanasiasa wa upinzani na mfanyabiashara mjini Kigali.

Rais wa Sudan Kusini amechukua hatua ya kihistoria iliyokuwa inasubiriwa kwa muda mrefu, kwa kulivunja baraza la mawaziri na kumchagua kiongozi wa upinzani Riek Machar, kuwa makamu wa kwanza wa rais, siku moja kabla ya kuapishwa Jumamosi kwa serikali ya mpito ya umoja wa taifa.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now