Taarifa za habari: Majimbo nchini Australia yaanza kuondoa vizuizi vya coronavirus

Mwanaume aendesha baiskeli, karibu ya watu wanao changia chakula.

Mwanaume aendesha baiskeli, karibu ya watu wanao changia chakula. Source: AAP

Kuanzia Ijumaa tarehe 15 Mei jimbo la New South Wales, lita anza kuinua vizuizi zaidi vya coronavirus.


Jimbo la Queensland lina naibu kiongozi na mweka hazina mpya baada ya Jackie Trad kujiuzulu. Bi Trad alifanya tangazo hilo jana Jumamosi kuwa, anajiuzulu kwa sababu ya uchunguzi wa mchunguzi wa ufisadi wa jimbo hilo, kuhusu kuteuliwa kwa mwalimu mkuu wa shule katika eneo bunge lake.

Rais wa zamani wa Marekani Barack Obam amemkosoa vikali Rais Donald Trump kwa namna anavyoshughulikia janga la corona.

Shirika la Afya Duniani (WHO) Ijumaa limeonya kuwa watu 190,000 wanaweza kupoteza maisha mwaka 2020 barani Africa, iwapo serikali zitashindwa kudhibiti maambukizi ya virus vya corona.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa za habari: Majimbo nchini Australia yaanza kuondoa vizuizi vya coronavirus | SBS Swahili