Kiongozi wa Qld Annastacia Palaszczuk amesema shule zote zitafunguliwa kuanzia kesho, baada yakupokea hakikisho kuwa wanafunzi wote ambao wamekuwa China bara, wata jitenga kwa wiki mbili zijazo.
Taarifa za habari: Seneta Bridget McKenzie ajiuzulu

Waziri wa kilimo na naibu kiongozi wa chama cha Nationals wa zamani Bridget McKenzie kabla yakujiuzulu Source: AAP
Kashfa ya hela za misaada za michezo, yamlazimisha Seneta Bridget McKenzie kujiuzulu kutoka wadhifa wa waziri wa kilimo na naibu kiongozi wa chama cha Nationals.
Share