Taarifa za habari:"Waasi ndani ya chama tawala waitikisa serikali ya Australia"

bango la taarifa za habari la SBS

bango la taarifa za habari la SBS Source: SBS News

Waziri Mkuu ameomba pawe umoja katika serikali yake, baada ya ongezeko la mivutano kuibuka kwa sababu ya sera ya nishati.


Katika tukio jipya, waziri wa zamani wa rasilimali Matt Canavan, amewakosoa washiriki wake wanao pinga mgodi mpya wa makaa ya mawe jimboni Queensland.

Raia wa Kenya pamoja na wageni waalikwa wame jumuika katika uwanja wakitaifa wa Nyayo mjini Nairobi, kushiriki katika ibada yakumuaga aliyekuwa rais wa pili wa Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi.

Idadi ya wanajeshi wa Marekani wanaougua majeraha ya ubongo kufuatia shambulio la Iran dhidi ya wanajeshi wa Marekani katika kambi moja nchini Iraq mwezi Januari imefikia 109, kulingana na maafisa wa Marekani.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now