Taarifa za habari:Waaustralia waombwa waendelee kuwa watulivu licha ya ongezeko yavisa vya coronavirus

Waziri Mkuu Scott Morrison atazama onyo za coronavirus

Waziri Mkuu Scott Morrison atazama onyo za coronavirus Source: AAP

Waziri mkuu Scott Morrison amewahamasisha wa Australia, waendelee kuwa watulivu wakati mlipuko wa coronavirus unaendelea.


Hofu ya virusi hivyo vimesababisha maduka mengi kusalia bila bidhaa ambazo wateja wanahitaji, kwa sababu wateja wenza wamevinunua kwa wingi.

Biden, Sanders tayari kupambana katika uchaguzi wa 'Super Tuesday' wakupata mgombea wa chama cha Democrats katika uchaguzi wa rais Marekani

Raia wanne wa kigeni waliowasili nchini Uganda na dalili za virusi vya corona wametengwa katika hospitali ya Entebbe, Waziri wa afya amethibitisha.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa za habari:Waaustralia waombwa waendelee kuwa watulivu licha ya ongezeko yavisa vya coronavirus | SBS Swahili