Taarifa za habari: Wafungwa 3,973 waachiliwa huru Tanzania

Rais Magufuli atao hotuba

Rais Magufuli atao hotuba Source: Ikulu Tanzania

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli, Jumamosi alitoa msamaha kwa wafungwa wapatao 3,973 na kuwaachilia huru wakati wa maadhimisho ya miaka 56 ya muungano wa Tanzania.


Waziri wa afya Greg Hunt amesema kuendelea kuwa na viwango vichache vya maambukizi ya coronavirus nchini Australia vinatia moto.

Mabara ya Ulaya na Asia yafarijika kwa kupanda bei za hisa kutokana na COVID-19 kudhibitiwa


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa za habari: Wafungwa 3,973 waachiliwa huru Tanzania | SBS Swahili