Taarifa za habari: Watu milioni 15 wafungiwa ndani Italia kwa sababu ya Coronavirus

Maafisa wa afya na usalama wakabiliana na virusi vya coronavirus nchini Italy

Maafisa wa afya na usalama wakabiliana na virusi vya coronavirus nchini Italy ambako watu 12 wamekufa tayari, na watu 400 wame ambukizwa Source: AAP

Waziri mkuu wa Italia Giuseppe Conte leo ametangaza marufuku ya kusafiri kwenye mkoa wa kaskazini wa Lombardy, na majimbo mengine kadhaa kaskazini ya Italia kutokana mripuko wa virusi vya Corona.


Virusi vya coronavirus vya dai mtu wa tatu nchini Australia, waziri wa afya wa shirikisho Greg Hunt amesema kifo cha mkazi wa hifadhi yawazee kupitia virusi vya coronavirus, ni hasara kubwa kwa jamii.

Serikali ya shirikisho ya Australia itawekeza dola milioni 20, kwa mradi wa mikopo isiyokuwa na riba, kama sehemu yakuwasaidia wanawake wanaokabiliana na vurugu ya nyumbani kununua bidhaa vya msingi kwa ajili yakujiendeleza.

Benki ya dunia imeishinikiza serikali ya Tanzania kuanzisha mfumo wa elimu kwa wananfunzi wanaokatiza masomo yao kutokana na sababau kama vile uja uzito.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa za habari: Watu milioni 15 wafungiwa ndani Italia kwa sababu ya Coronavirus | SBS Swahili