Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Gharama ya vurugu na ghasia zinazoisibu Burundi

Wanawake wakiomboleza kiongozi wao aliye uawa katika machafuko Burundi.
Wanawake wakiomboleza kiongozi wao aliye uawa katika machafuko Burundi. Source: EPA Dai Kurokawa

Ni zaidi ya mwaka mzima sasa tokea vurugu na ghasia zinazoisibu Burundi kuanza. Hali hiyo ime acha familia nyingi katika athari kubwa mno. Kwa mujibu wa takwimu za Umoja wa Mataifa, idadi ya watu isio pungua 470 wameuawa kutokana na machafuko hayo.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Ni zaidi ya mwaka mzima sasa tokea vurugu na ghasia zinazoisibu Burundi kuanza. Hali hiyo ime acha familia nyingi katika athari kubwa mno. Kwa mujibu wa takwimu za Umoja wa Mataifa, idadi ya watu isio pungua 470 wameuawa kutokana na machafuko hayo.


Machafuko hayo yame wafanya kinamama na watoto kuwa wajane na mayatima, naku waacha wengi wao katika mazingira magumu.

Muandishi wa SBS Swahili mjini Bujumbura, alitembelea moja ya familia husika naku andaa taarifa ifuatayo.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now