Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Waziri Mkuu awasilisha barala jipya la mawaziri

Waziri Mkuu wa Australia, Malcolm Turnbull
Waziri Mkuu wa Australia, Malcolm Turnbull akitangaza baraza jipya la mawaziri Source: AAP

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull amewasilisha kile anacho ita timu yamawaziri yenye nishati mpya. Bw Turnbull amesema ame chagua mawaziri kulingana na mtazamo wa siku za usoni kwa sera zitakazo kuza ubunifu, viwanda pamoja naku hakikisha mafanikio ya uchumi wa Australia katika karne ya 21.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Waziri Mkuu Malcolm Turnbull amewasilisha kile anacho ita timu yamawaziri yenye nishati mpya. Bw Turnbull amesema ame chagua mawaziri kulingana na mtazamo wa siku za usoni kwa sera zitakazo kuza ubunifu, viwanda pamoja naku hakikisha mafanikio ya uchumi wa Australia katika karne ya 21.



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now